Sura na Tabia kipi kinakufanya Uoe?

Sura na Tabia kipi kinakufanya Uoe?

KISS 100

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
528
Reaction score
1,125
Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile.
Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa.

Hapa ndipo wengi wanafeli mana Sura sio Tabia na Tabia sio sura.

Hapa ndipo wengi wanaanza kufeli.
 
OA komwe lako
Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile.
Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa.

Hapa ndipo wengi wanafeli mana Sura sio Tabia na Tabia sio sura.

Hapa ndipo wengi wanaanza kufeli.
K
 
OA komwe lako
Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile.
Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa.

Hapa ndipo wengi wanafeli mana Sura sio Tabia na Tabia sio sura.

Hapa ndipo wengi wanaanza kufeli.
K
 
Hapo unaangalia ni kipi unaweza vumilia endepo hakitakuwa kama vile unataka, sura au tabia

Maana ni wachache sana unaokuta anavyo vyote.
 
Back
Top Bottom