Kujaribu kuijua sura na Picha ya CDM, nadhani si vibaya japo naona reaction ya baadhi ya wadau ni hasi(-ve).
Kwa uelewa wangu, huwezi kulinganisha CCM na CDM kwa namna yoyote ile. CCM ni chama kikongwe na of course tawala. Kina mtandao mkubwa, raslimali watu(experienced) na fedha. Wakati CDM ni changa, kikiwa na raslimali watu wachache(un-experienced) na bado kifedha hali si nzuri....japo ukweli ni chama chenye mvuto kwa watanzania, hususani vijana.
Ninachojaribu kusema, ni kwa nini bado kwenye CDM watu kama Mh. Zitto anaonekana ni threat? Simjui vizuri Mh. Zitto, lakini ninadhani Mh. Zitto yuko very smart, hakurupuki na anajua kusoma alama za nyakati. Tazama anavyonyanyapaliwa Mh. Shibuda! na wengine wengi......wanaokufa kibudu.....Swali ni je, haya yote ni sababu ya usisi ndo waanzilishi, ni sisi tunaotoka kanda Z au ni sisi wenye chama?