Sura(face) yangu inaninyima michongo siaminiwi.

Aisee hizi sura zina mchango mkubwa sana katika kufanikiwa kuna baadhi ya sura hata zikiwa na ujinga ni rahisi kuaminiwa lakini baadhi ya wengi ambao tuna potential inside sura zetu zinatuangusha yaani muonekano wa sura tu unafanya mabosi wasituamini juzi nimekosa dili la kuwa mweka hazina wa kikundi Fulani kisa sura imekaa kigaidi gaidi. Naomba niwakumbushe watu sura sio roho mtuamini hata sisi wenye sura za kutatanisha.
sikukataliii na kukubali sana japo kuna watakao hisi kuna chembe za utani ila ki uhalisia hata wewe mkuuu kwako tu assume unatafuta house boy alafu kesho yake unaletewa house boy Mbavu nene usoni ana alama kabisa unaziona ni za mapanga ila ukimuuliza anakwambia alidondokaga alivyokua mtoto.

Sauti yake akiongea hata wewe chamtoto...UTAMUAJIRI HUYO HOUSE BOY??

kwenli moyo na sura ni tofauti sema katika swala la kazi SURA ni moja ya CV... kazunguke kwa ma air hostess uone kama utakutana na mwenye sura ya ASHA NGEDERE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom