Sura(face) yangu inaninyima michongo siaminiwi.

Siyo sura tuu pia alama kubwa kubwa zinazoonekana kama vile tattoos usoni mikononi na shingoni au makovu yasioeleweka zinaweza kusababisha ukakosa michongo ya maana epuka sana kujichora chora mwili au maugomvi yanayoweza kukuletea makovu makubwa kwenye mwili
 
Aisee hizi sura zina mchango mkubwa sana katika kufanikiwa kuna baadhi ya sura hata zikiwa na ujinga ni rahisi kuaminiwa lakini baadhi ya wengi ambao tuna potential inside sura zetu zinatuangusha yaani muonekano wa sura tu unafanya mabosi wasituamini juzi nimekosa dili la kuwa mweka hazina wa kikundi Fulani kisa sura imekaa kigaidi gaidi. Naomba niwakumbushe watu sura sio roho mtuamini hata sisi wenye sura za kutatanisha.
Mbona gaidi Osama ana sura nzuri tuu yako iko kama gaidi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom