wazee zamani kwani kulikua na JF au facebook? au porn mtu alikua anazipata just a click away? mwanaume wa leo ndivo alivokua hata wakati wa roman empire sema wanawake walikua hawana sauti, sasa mmepewa sauti leo kidogo mnaongea sana... pitia archives za zamani uone how long men lasted kwenye game..... u can never achieve perfomance mnayoiona kwenye movie za ngono, ile kitu haikoshot straight bila cut wala madawa....
Na a girl unataka usiorgasm nusu saa nzima jamaa yuko ndani anapiga game tu huoni una matatizo, au jamaa hajakuvutia, most girls dakika kumi nyingi ashalia anaomba po avute nguvu kwanza...