Supu ya nyama ya ng'ombe

Supu ya nyama ya ng'ombe

bothlegs

Senior Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
123
Reaction score
49
Unaingia Hotelini au Mkahawani na unaagiza supu ya nyama ya ng'ombe.Ukiwa umekaa huku ukisubiri hiyo supu mara anakuja muhudumu na kuuliza nani ng'ombe?Utasemaje?
 
Maneno mengine yanakuwa na maana kulingana na mazingira! Jibu hapo ni MIMI, Haina ubishi.
 
Back
Top Bottom