Nikiwa kama mwana ccm,sikushngazwa kutukuwepo kwa Kiongozi yoyote kutoka ccm kuhudhuria ukaribisho wa Mzee lowassa kuwa mwanachama mpya wa cdm.Ninachojiuliza inakuwaje Kiongozi mkuu wa Act kutukuwepo kwenye mkataba wa leo?
Hamna shida, Richard Mugizi aka Nyani Ngabu atawakilisha
Leo uko so happy tuambie siri ya urembo umepata kadi ya CDM?Mie nasubiria kupokea watu airport watakaoamua kuhama Tanzania!!!!!
Yeah nna furaha nimepata jina jipya. Naitwa Richard Mugizi siku hizi. NiGoogle unione.