Supplimentary Vyuoni: UDSM the Case Study.

Goodluck Mshana

JF-Expert Member
Aug 7, 2011
1,271
1,119
Leo ndani ya UDSM nikakutana na idadi kubwa ya wanafunzi. Idadi hii ilinipa mshawasha wakuuliza kulikoni! Kwani siku na tarehe yakufungua chuo bado. Kwa bahati nzuri nikakutana na baadhi ya wasomi hawa nakupata mwanya wakuuliza kinachojiri chuoni hapo. Vijana wakiwa na nyuso za kawaida sana wakanijibu walikuwa chuoni hapa kwaajili ya "kusapua". Nilipojaribu kufanya mawasiliano kwenye vyuo vingine (kikiwemo AMUCTA cha Tabora-Tawi la SAUT) nikaambiwa hali ilikuwa nizaidi ya huku Mlimani! Shida ni nini haswa wanajamvi? Je tatizo linaanzia kwa Lecturers na Professors ambao baadhi ni incompitent? Na ambao wengi kwa ugumu wa maisha wamezidi kujihusisha na shughuli nje ya vyuo? Au vijana wetu wa bongo wanaona maisha ni kama kumsukuma mlevi hivyo kupoteza umakini masomoni?
 
kaka ni kawaida lakini wengine hujitakia na wangine ni bahati mbaya kikubwa mwenyezi mungu atawasaidia kwa kila jambo kwani yeye ndiye mweza wa kila kitu. sala ni kitu pekee katika masomo kwan ukiwa karibu na mwenyezi mungu utaishi kwa amani milele
 
Watoto wanashinda jf na fb kutwa nzima unadhani wanasoma saa ngapi?. Angalia hata mada wanazobishania huku jukwaa la elimu utagundua tu kwamba vichwani hamna kitu.


You haven't convinced me at all....!!
At those times we had neither fb,jf,instagram nor whatsup,but still we had lots of supplimentaries and discontinues...!!
 
Back
Top Bottom