dakika ya 25 simba 1 azam 0
Asante kwa taarifa .wafungaji wamagoli ninani?Simba B-2 na Azam 1 dk ya 73
Endrew Christopher na ....Asante kwa taarifa .wafungaji wamagoli ninani?
Kabisa kwa kikosi hiki cha Simba B, kinatia matumaini, hao akina Twite waendezao huko kwa wahuni wenzaoMpira umekwisha Simba B 2 na Azam FC 1...hongera sana timu yangu Simba hakika tuna akiba miaka miwili ijayo hatuta gombea akina Twite....
Safi sana Christopher ni hazina ya simba na taifa kwa keshoEndrew Christopher na ....
Simba B kaingia fainali atakutana na Mtibwa Sugar
Jumamosi saa kumi.Hongera Simba B.Fainali itakuwa lini mkuu ?
Asante Masuke kwa taarifa .Simba nguvu moja daimaJumamosi saa kumi.