super8 nusu fainal

Mapak sasa dakika ya 40 Simba -B 2 na Azam FC 1...Eemungu tusaidia tuwafunge hawa rambaramba....
 
Mpira umekwisha Simba B 2 na Azam FC 1...hongera sana timu yangu Simba hakika tuna akiba miaka miwili ijayo hatuta gombea akina Twite....
 
Mpira umekwisha Simba B 2 na Azam FC 1...hongera sana timu yangu Simba hakika tuna akiba miaka miwili ijayo hatuta gombea akina Twite....
Kabisa kwa kikosi hiki cha Simba B, kinatia matumaini, hao akina Twite waendezao huko kwa wahuni wenzao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom