Ni swala la Muda tu....Mapigo 7 ya farao????
Huu mwezi unaonekana kwetu tuu au pote?
Matukio kama haya hayana maana kwao........wanasubiri politiki.Sijaona media yoyote ya kibongo ku cast ili tukio ...interesting
You made my day mkuuMwezi huu mshahara utaongezeka🙂
Njaa inawapeleka puta sanaMatukio kama haya hayana maana kwao........wanasubiri politiki.
Wana Yao mamboniliwahi kuuliza hpa jamvini kwa nini waislamu wanaswali pindi mwezi ukipatwa au tukio lolote linalohusu mwezi lazma ifanyike swala hata km sio muda wa swala? watu wakanikejeli weee hawakutaka hta kunipa elimu.......
UlshaoneknaUnaonekana lin huo mwezi