Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,527
- 14,403
BREAKING NEWS Mahakama ya Ulaya imeamua kuwa UEFA na FIFA zilichukua hatua kinyume na sheria ya mashindano kwa kuzuia kuanzishwa kwa Super League mwaka 2021 na sasa ni Halali kuanzishwa.
......Mkurugenzi mtendaji wa Super League Bernd Reicart amethibitisha hatua hiyo na kusisitiza sasa mashindano ya Super League ni Halali na hakuna tena Zuio kutoka FIFA Wala UEFA Ni Uamuzi sasa wa Vilabu kuamua hatima yao hakuna tishio lolote.
......Vilabu husuka vya mashindano hayo vitashiriki bure na Mapato watapewa bila shida pia Super League imewahakikishia mashabiki wa timu hizo watatazama mechi zao bure pasina kutoa kiingilio
Source Super League.
......Mkurugenzi mtendaji wa Super League Bernd Reicart amethibitisha hatua hiyo na kusisitiza sasa mashindano ya Super League ni Halali na hakuna tena Zuio kutoka FIFA Wala UEFA Ni Uamuzi sasa wa Vilabu kuamua hatima yao hakuna tishio lolote.
......Vilabu husuka vya mashindano hayo vitashiriki bure na Mapato watapewa bila shida pia Super League imewahakikishia mashabiki wa timu hizo watatazama mechi zao bure pasina kutoa kiingilio
Source Super League.