African Football League ni bonanza la mchongo

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
4,418
9,806
Ni mashindano ambayo yameibuka tu from nowhere. Hakuna vigezo rasmi kujua washiriki wanapatikanaje, bingwa ataenda kwenye hatua gani inayofuata?, atakaebeba kombe atapewa honorable title gani? maana kama ni bingwa wa CAF ngazi ya vilabu anapatika kupitia CAF champions league.

Vigezo vilivyotumika kupata washiriki kwenye hili bonanza havina mtililiko wa kimantiki. Uwezi ukajiita timu kubwa wakati ujawahi kucheza hata fainali ya caf champions league wala caf confederation cup katika historia yako. Tukisema tuangalie top 8 ya African clubs kuna washiriki hawapo. Ukubwa uko wapi sasa hapo? Kufika robo fainali?

Hatuwezi kuangalia kigezo cha pesa pekee. Msisimko wa soka ni yale mapambano ya machozi, jasho na damu uwanjani kutengeneza legacy ni kitu ambacho pesa haiwezi kukinunua. Mpira pesa sawa lakini lazima misingi ya mpira ilindwe pesa pekee isiwe determined factor. Ndio maana UEFA waliweka sheria ya financial fair play hata lile kombe walilotaka kulianzisha wakina Perez lilipigwa chini.

Ingawa natetea heshima ya mchezo wa soka lakini najua kuna mashabiki watakuja kunishambulia, hawawezi kunishangaza kwa sababu mwenyekiti wao wa zamani alishasema hali ya akili zao. Ukitaka kupata uthibitisho wa kauli ya mwenyekiti wao wa zamani soma comments zao hapa chini.
 
Ni mashindano ambayo yameibuka tu from nowhere. Hakuna vigezo rasmi kujua washiriki wanapatikanaje, bingwa ataenda kwenye hatua gani inayofuata?, atakaebeba kombe atapewa honorable title gani? maana kama ni bingwa wa CAF ngazi ya vilabu anapatika kupitia CAF champions league.

Vigezo vilivyotumika kupata washiriki kwenye hili bonanza havina mtililiko wa kimantiki. Uwezi ukajiita timu kubwa wakati ujawahi kucheza hata fainali ya caf champions league wala caf confederation cup katika historia yako. Tukisema tuangalie top 8 ya African clubs kuna washiriki hawapo. Ukubwa uko wapi sasa hapo? Kufika robo fainali?

Hatuwezi kuangalia kigezo cha pesa pekee. Msisimko wa soka ni yale mapambano ya machozi, jasho na damu uwanjani kutengeneza legacy ni kitu ambacho pesa haiwezi kukinunua. Mpira pesa sawa lakini lazima misingi ya mpira ilindwe pesa pekee isiwe determined factor. Ndio maana UEFA waliweka sheria ya financial fair play hata lile kombe walilotaka kulianzisha wakina Perez lilipigwa chini.

Ingawa natetea heshima ya mchezo wa soka lakini najua kuna mashabiki watakuja kunishambulia, hawawezi kunishangaza kwa sababu mwenyekiti wao wa zamani alishasema hali ya akili zao. Ukitaka kupata uthibitisho wa kauli ya mwenyekiti wao wa zamani soma comments zao hapa chini.
Wala mihogo mnateseka sana. Mpaka Rais wa FIFA amekuja wewe unasema ni mchongo,mbona mlihangaika sana na nyie mshirikishwe lakini mkagonga ukuta. Wacheni ushamba na ukuda.
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Ni mashindano ambayo yameibuka tu from nowhere. Hakuna vigezo rasmi kujua washiriki wanapatikanaje, bingwa ataenda kwenye hatua gani inayofuata?, atakaebeba kombe atapewa honorable title gani? maana kama ni bingwa wa CAF ngazi ya vilabu anapatika kupitia CAF champions league.

Vigezo vilivyotumika kupata washiriki kwenye hili bonanza havina mtililiko wa kimantiki. Uwezi ukajiita timu kubwa wakati ujawahi kucheza hata fainali ya caf champions league wala caf confederation cup katika historia yako. Tukisema tuangalie top 8 ya African clubs kuna washiriki hawapo. Ukubwa uko wapi sasa hapo? Kufika robo fainali?

Hatuwezi kuangalia kigezo cha pesa pekee. Msisimko wa soka ni yale mapambano ya machozi, jasho na damu uwanjani kutengeneza legacy ni kitu ambacho pesa haiwezi kukinunua. Mpira pesa sawa lakini lazima misingi ya mpira ilindwe pesa pekee isiwe determined factor. Ndio maana UEFA waliweka sheria ya financial fair play hata lile kombe walilotaka kulianzisha wakina Perez lilipigwa chini.

Ingawa natetea heshima ya mchezo wa soka lakini najua kuna mashabiki watakuja kunishambulia, hawawezi kunishangaza kwa sababu mwenyekiti wao wa zamani alishasema hali ya akili zao. Ukitaka kupata uthibitisho wa kauli ya mwenyekiti wao wa zamani soma comments zao hapa chini.
Ajira umepata au ndio hii ya kuandika utumbo
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom