Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
Naomba kujuzwa mitihani ya kurudia kwa walioshikwa inafanyika lini udsm?
Jesus christ!we uko dunia gani ndugu?maandaliz utafanya lini asa?
tarehe 16 hadi 20 mwezi huu wa tisa
asante mkuu! Ngoja nianze mazoez sasa yakuchomoa
Naomba kujuzwa mitihani ya kurudia kwa walioshikwa inafanyika lini udsm?
asante mkuu! Ngoja nianze mazoez sasa yakuchomoa
Umekamatwa cozi ngapi? Pole sana punguzeni kwenda club msome Vijana.
Kazi na dawa mkuu! Club muhimu. Ila 3 sio nyingi
daruso mpooo. kisanko mtoto wa mkulima the great president of udsm anawapa hai