Sunnah za Muhammad(s.a.w)

Joined
Jan 15, 2025
Posts
14
Reaction score
13
Assalam alaykum enyi watumwa wa Allah. Assalam alaykum enyi wakereketwa wa mtume Muhammad (s.a.w).

ALLAHUMA SWALII A'LAA MUHAMMAD YARABBI SWALII A'LAYHI WASALIM

Hakikaka mtume ndo mbora wa viumbe. Hakika mbora wa viumbe ndiye mbora wa elimu. Hakika mbora elimu ndiye mbora wa matendo. Hakuna matokeo Bora ila Kwa matendo Bora.

Ndugu zangu katika khofu ya siku ya qiyama, Uzi huu n maalumu kabisa kukumbushana Sunnah zilizosahaulika au kudharaulika.

Allah awalipe Kwa ukumbusho wenu.
 
Jazaka Allahu khaira, Naanza kwa kusema "Katukaza Mtume SAW kuingilia jambo lolote lisilokuhusu au kulitilia neno jambo lisilokuhusu, kama huna tija ni kukaa kimya"
 
TABASAMU
mtume SAW alikuwa akiongea na maswahaba kwa upole,heshima na kutabasamu kiasi Cha kwamba swahaba anapata fikra ya kuwa yeye ndiye anayependwa zaidi na mtume SAW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…