Sumu ya ndoa ni kunyimwa unyumba,( mambo ya unyumba yakiwa yanakwenda vizuri, kila kitu kinafunikwa, hata kama ana wivu kupindukia, mchafu, mvivu, unakuta mwanamme anapika , huku akipiga mluzi, viwifi , kapewa madawa huyu, atapikaje na mkeo yupo nyumbani, kumbe hawajui kaka yao mambo anayopewa