ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,650
- 57,043
Habari waungwana
Maneno haya chini ameniambia baba yangu ambaye ni mtafiti wa siasa kwa mda mrefu
"CCM wanashindwa kuamini kuwa wenye nchi wengi waelewa wameshakula sumu lowasa kiasi kwamba pamoja na uchafu wake wanaamini ni mkombozi,CCM wamebakisha mitaji ya wananchi wavijijini kabisa katika vijiji visivyo na umeme.Raia wasio na maendeleo tunaowatetea ndio wamekikumbatia hiki chama CCM.
Ila kwa maeneo ya mijini na katika centre za miji mikuu na wilayani habari ni Lowassa na kulithibitisha hili jana katika tweeter ya Reginald Mengi amesema "ewe mwanasiasa chunga ulimi wako kuna maisha baada ya 2015" kauli hi inaashiria kuwa upinzani kupitia UKAWA wanashinda uchaguzi.Dalili zipo za ushindi UKAWA kwa 56%".
Maneno haya chini ameniambia baba yangu ambaye ni mtafiti wa siasa kwa mda mrefu
"CCM wanashindwa kuamini kuwa wenye nchi wengi waelewa wameshakula sumu lowasa kiasi kwamba pamoja na uchafu wake wanaamini ni mkombozi,CCM wamebakisha mitaji ya wananchi wavijijini kabisa katika vijiji visivyo na umeme.Raia wasio na maendeleo tunaowatetea ndio wamekikumbatia hiki chama CCM.
Ila kwa maeneo ya mijini na katika centre za miji mikuu na wilayani habari ni Lowassa na kulithibitisha hili jana katika tweeter ya Reginald Mengi amesema "ewe mwanasiasa chunga ulimi wako kuna maisha baada ya 2015" kauli hi inaashiria kuwa upinzani kupitia UKAWA wanashinda uchaguzi.Dalili zipo za ushindi UKAWA kwa 56%".