Sumu aliyolishwa Mwakyembe amesambaza hadi kwa Mkewe!

Hii sio kale kasumu ketu ambako unaweza kujikinga kwa kuvaa plastiki/raba sehemu husika?
 
Taarifa za ukweli kuhusu ugonjwa wa Mwaki zina kifafa. I'm confused.
:A S-confused1:
 
hivi kuna siku na mahali mwakyembe mwenyewe ametamka kwamba kalishwa sumu?napenda kujua ili nitafakari vema hili suala lenye utata mkubwa
 
Kinachotokea hapa mwakyembe mwenyewe anaogopa kusema kinachomsibu manake anajua kitakachofuata ni kuvurugana ndani ya chama na serikali yake.Naona kaamua afe kimya kimya na gonjwa linalomsumbua.Pole ndo uwanaume huo kuficha kwa sababu ya fadhila ya serikali au manake hatukuelewi taarifa ya polisi huna imani nayo.Basi funguka basi kilichoko moyoni mwake umalize mchezo kama sio tamthilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…