Sumsang A13 ukiachaji inakupa yellow triangle.

Mtili wandu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
10,598
Reaction score
15,432
Simu tajwa nikiichaji inaleta Alama ya pembe tatu rangi ya njano. Sijui tatizo nini? Kuna vitu vyangu kibao nataka kuhamisha msaada wajuzi. Na chaji haingizi.
 
tatizo litakuwa betri simu ni samsung ila ww umeweka betri la tecno au brand nyingine za wachina wa kariakoo..au chaji yako inatoa umeme mdogo kuliko mah za betri ni kubwa..tafuta chaji kubwa kuanzia output 5 V= 2.0 A
 
tatizo litakuwa betri simu ni samsung ila ww umeweka betri la tecno au brand nyingine za wachina wa kariakoo..au chaji yako inatoa umeme mdogo kuliko mah za betri ni kubwa..tafuta chaji kubwa kuanzia output 5 V= 2.0 A
Hapo kwenye betting inawezekana maana nolipeleka kwa fundi labda kaibadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…