sumaye hana tofauti na ushuzi uvumapo humsumbua kila mtu atakayepitisha pua yake, vipi rushwa iwe chungu leo kwa sumaye tena baada tu ya kupoteza mamlaka. kwa uraisi hawezi kwani tayari ameshindwa hata ujumbe.na ataupataje ikiwa waliomwangusha kwa rushwa bado wamemzunguka?yote kwa yote mwizi akiibiwa huona uchungu kama yeye hakuwahi kuiba vya watu. lakuvunda halina ubani.
Yeye si ndio smart kuzidi wote, mnatuambiaga na kuwa kila mtu ktk vikao au makutano yenu anayeongeanae anasema ana akili sn. Pia ndio mtu wa strategies mwenye uwezo wa mwisho na kwa upande wa kuagaa ndio balaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.