Sumaye na Lowassa hawakuwepo?

ACHA KUPOTOSHA ,SISI SIO NYUMBU KAMA UNAVYOFIKIRI, UNATAKA KUSEMA WALIJIONDOA KWA HAYA. LABDA NIKUKUMBUSHE WALIJIONDOA ILI KWA UROHO WA MADARAKA, WALIJIONDOA BAADA YA KUKATWA. NYUMBU WEWE UENITIA HASIRA ASUBUHI YOTE HII!!!!
Nimemaanisha kuwa kwa kukiri kwao huna haja ya kuenelea kuwa laumu bali kuwafikisha mahakamani pale mashtaka yanapoonekana. Sasa wewe unachukua vipande vya magazeti na kuweka hapa jee ndivyo utatumia mahakamani? halafu kwa upumbavu wako unaita wenzako nyumbu bila kujua kuwa wewe ni zaidi ya hao nyumbu?
Maana yote uliyoonyesha hapo ni mihemko tuu, Lowassa kasha sema mara ngapi mumpeleke mahakamani nanyi mume mute? Hebu Mkapa au JK watangaze hadharani kuwa kinga yao iondolewe uone kama kesho yake tuu hawajatinga mahakamani! Kijana jichunge na kauli zako chafu.
 
Haifuti uwepo wake. Ila JPM Sasa anachukua Hatua.
Sasa kama haifuti uwepo wake, je, unakiri kuwa wanaohoji kwamba alikuwa wapi wana hoja? Je, kukaa kimya na kuchukua hatua miaka kadhaa baadaye, hauoni kama amechelewesha sana kutujulisha wananchi?
 
NI WAKINA NANI WALITEMBEA NCHI NZIMA KUMNADI LOWASA KUWA NI FISADI? NA NIWAKINA NANI WALIMNADI KUWA MGOMBEA WAO 2015? UKIWEZA YAJIBU HAYA MASWALI UTATOKA KWENYE UNYUMBU. NAONA BORA UANGALIE HIZO VIDEO HAPO CHINI NAONA KIDOGO UBONGO WAKO UTAFUNGUKA
 
Wallahi, hawa makamanda wa chadema ni vigeugeu na wanafiki sana.
 
Hata kama angefahamu angefanya nini wakati hakua na mamlaka kipindi hicho hata kama alikua hapendi hayo mambo?.
Je kuna ubaya gani sasa kufanya anayofanya ukizingatia kua sasa hivi ana mamlaka kamili tofauti na hapo awali?.
Je hujui kua kidole kimoja hakivunji chawa?
Je Kuna ubaya gani sasa hivi kumuunga mkono JPM kwakua anapigania yale ambayo mwanzoni yalipigiwa kelele na wapinzani lkn yakakosa msukumo kutokana na MKULU aliyekuwepo wakati huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama haifuti uwepo wake, je, unakiri kuwa wanaohoji kwamba alikuwa wapi wana hoja? Je, kukaa kimya na kuchukua hatua miaka kadhaa baadaye, hauoni kama amechelewesha sana kutujulisha wananchi?
M
 
Sasa kama haifuti uwepo wake, je, unakiri kuwa wanaohoji kwamba alikuwa wapi wana hoja? Je, kukaa kimya na kuchukua hatua miaka kadhaa baadaye, hauoni kama amechelewesha sana kutujulisha wananchi?
M
 
Tatizo la mwenye nyumba, analamika huku amekubatia waliotuletea matatizo yote.
 
Tatizo la mwenye nyumba, analamika huku amekubatia waliotuletea matatizo yote.
 
Kwani wakati sheria ya madini na gas inapitushwa bungeni JOM alikuwa CHADEMA?? Maana sasa analalama tumeibiwa sana. Vipi ESCROW nae JPM alitolewa nje kama UKAWA?? Acha kujitoa ufahamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Tutamwona wa maana sana kama atawashughulikia hao waliokuwa na mamlaka wakati huo. Sidhani kama ataweza kufanya hivyo maana aliapa kuwalinda wakati wana mkabidhi yeye hayo mamlaka!
 
ukitaka kujua hawakuwepo au walikuwepo kupitia kauli za chadema. subiri siku wakikwazika huko wakasema wanarudi CCM.
watatukanwa na kusakamwa kila kona.
siasa ni ujanjaujanja
 
mawaziri na marais wote waliohusika washughulikiwe upesi kama kweli kuna nia ya dhati.
Hii ndio hoja ya msingi kuliko zote inayokwepwa kwa jina la "KINGA" tuwaache wazee wapumzike. Hapa ndipo anguko letu lilipo kiuchumi, kiuwajibikaji na kiutendaji.
Wakiharibu wanalindwa na atayefuata ataharibu maana hatohusika.
 
Yule mwingine amekuwa waziri mkuu kwa miaka 10 hakuna la maana alilofanya halafu leo anakaa mbele ya kamera anaongea upuuzi.

Wanasiasa wapuuzi sana washatuona Watanzania wajinga wajinga sana.
 
Yaani Magufuli anatetewa kwa kulinganishwa na Lowassa na Sumaye? Sawa. Basi wote wafikishwe mahakamani tuachane na mijadala ya kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…