Sumaye kupoteza kumbukumbu

Sumaye kupoteza kumbukumbu

Nikiwa rais michango na ada zote kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari zitafutwa..... Makofuli

Nikiwa rais ntawashughulikia wote wanaokula hela za michango mashuleni...... Makofuli.

Bora nani..... anayesahau ambaye hagombei chochote au anayesahau afu anataka kuwa Rais wetu???

Kweli wewe hamnazo.

Mbona hizo sentensi hazikinzani na ni sawa kabisa.

Kwenu huko kuiba haramu au halali?

Hapo sasa!
 
Kweli wewe hamnazo.

Mbona hizo sentensi hazikinzani na ni sawa kabisa.

Kwenu huko kuiba haramu au halali?

Hapo sasa!

Ni kweli Dada yangu umeshindwa kuona tofauti ya hizo sentensi mbili,,,,,
 
Akili zingekuwa zinaonekana physical kuna watu vichwa vyao vingelia kama debe tupu. Eti wahisani hawatoi michango wanatoa misaada kwa hivyo msaada hauwezi kuwa mchango au kwa vile ni msaada uliwe tu.
Acheni mihemko ya kishabiki mnatia aibu.
 
Msamehe tu Sumaye, wananchi wengi hawakukosea kusema ni Mr. Zero
 
Sumaye Fredrick amezidi kudhihirisha kuwa ni mtu anbaye kaanza kupoteza kumbukumbu kutokana na kusahau kauli zake anazotoa kila siku.

Sumaye alisema sifa za mtu kuwa rais kwanza ajipime mwenyewe kama anatosha, afya yake pamoja na ufisadi.

Lakini huyohuyo baadae akapoteza kumbukumbu na kusema tuchague hata kama ni fisadi au afya mgogoro.

Pesa imeharibu ubongo wake. Nashangaa Sasa hata harufu ya choo haimsumbui.
 
Nikiwa rais michango na ada zote kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari zitafutwa..... Makofuli

Nikiwa rais ntawashughulikia wote wanaokula hela za michango mashuleni...... Makofuli.

Bora nani..... anayesahau ambaye hagombei chochote au anayesahau afu anataka kuwa Rais wetu???
Nasikia tarehe za mwanzo mwanzo huwa anakuwaga vibaya huyu makofuli:crying:
 
Waulize! Hao waliomwita Lowassa "fisadi" leo wanasema malaika kwa kuwa kawanunua.

Kumbe na wewe ni mchagga!

Hapana, mimi ni mmasai.

Mwaka huu tunamchagua morani mwenzetu. Liwalo na liwe.
 
Mr. Zero. Nilicheka sana niliposoma kwenye gazeti eti naye anajilinganisha na Che Guevara! Sijui kama anajua hata mwanamapinduzi Che alifanya nini mpaka akaishia kuuawa katika mistu ya Bolivia. Madaraka matamu!
 
Hapana, mimi ni mmasai.

Mwaka huu tunamchagua morani mwenzetu. Liwalo na liwe.

Mchagueni, na Watanzania tulio wengi tunajioelewa na tusionunulika tunamchaguwa Magufuli.

Kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom