Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote wakiamia CCJ si itageuka CCM tena au lengo la CCJ ni kuchukua mafi**di wote wa CCM?Mh Former PM...Tunakuomba uamie CCJ ili tukusimamishe uwe mgombea Urais....
Sumaye hana sifa za kuhamia CCJ.
Mh Former PM...Tunakuomba uamie CCJ ili tukusimamishe uwe mgombea Urais....
Mh Former PM...Tunakuomba uamie CCJ ili tukusimamishe uwe mgombea Urais....
TzPride, tafadhali umenistua, hivi Sumaye naye ni kariba ya Mkapa na Yona, hivi ni kariba ya Lowassa.....tunajua namna Mkapa ,Yona na Lowassa walivyohusika kulawiti ustawi wa taifa hili....je unaweza kuja na uthibitisho wa namna Sumaye alivyoshoriki kutuibia walalahoi wa Taifa hili .Acha kuropoka! Sumaye ni mchafu kiasi cha kutisha, anastahili kukaa huko CCM. Yaani nchi iwe na rais mbumbumbu kama Sumaye? We can't afford to have mbumbumbus mfululizo.....Acha ulevi huo.
waacha Mkapa hafungamani na wapinga ufisadi, tetesi za ndani zinadai CheMkapa aliipenyeza hoja ya kuwafunza adabu makamanda wa ufisadi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu......Mzee Kimaro anajua, mama Malecela anajua.picha litakuwa tamu pale Mkapa atakapoitisha press conference na kutangaza kuhamia CCJ
TzPride, tafadhali umenistua, hivi Sumaye naye ni kariba ya Mkapa na Yona, hivi ni kariba ya Lowassa.....tunajua namna Mkapa ,Yona na Lowassa walivyohusika kulawiti ustawi wa taifa hili....je unaweza kuja na uthibitisho wa namna Sumaye alivyoshoriki kutuibia walalahoi wa Taifa hili .
Uchokozi huo!Mh Former PM...Tunakuomba uamie CCJ ili tukusimamishe uwe mgombea Urais....
Eeeh..Acha kuropoka! Sumaye ni mchafu kiasi cha kutisha, anastahili kukaa huko CCM. Yaani nchi iwe na rais mbumbumbu kama Sumaye? We can't afford to have mbumbumbus mfululizo.....Acha ulevi huo.