mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
Acha upuuzi! umekwisha sema hukumbuki ni nchi gani aliongelea,sasa tunauhakika gani kuwa unakumbuka kuwa ni Sumaye au Rais Kikwete?No data no research no right to speak, wa kwanza kuulizwa swali hili alikuwa ni Sumaye ila sikumbuki alikuwa nchi gani ya Ulaya, lakini alikuwa tayari ni Waziri Mkuu mstaafu. nina hakika na hili kwa asilimi 1000.