Sumaye amkaanga JK


Viongozi wa CCM ndivyo walivyo; nje ya siasa wanajua kila jibu, ndani ya uongozi bora hata mtoto darasa la tatu anaweza kuongoza nchi!
Sumaye namshauri miaka kumi ya uwaziri mkuu inatosha, apumzike tu ale nchi;
au huko ikulu allisahau nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…