Sikujua VIONGOZI wengi wa CCM walio MADARAKANI wanayajua fika Maelezo na Maneno ya Mwl. Nyerere... Hadi hilo suala la kutaka kwenda IKULU kwa kuhonga ni wa kuogopa kama UKOMA!!! Lakini sasa MBONA wanaendelea kuhonga ? MKAPA aliyajua hayo bado alifanya visivyotakiwa; Kikwete yeye ndio kabisaa anatupeleka kubaya zaidi ya UKOMA