Sumaye amkaanga JK

kete za cdm kuelekea kuishika Dola zinaongezeka. 'Nawapenda' ccm. Ni greda zuri sana. Cdm tulitumie jamani
 
Sizitaki Mbichi hizi-Sumaye

Unafikiri angemshinda Merry Nagu angekuwa anapiga makelele sasa hivi? ungemkuta yupo busy tu na chama chake.

Sioni ubaya mtu kutambua ubaya wa kitu hakuna muda maalumu katika kukosoa kitu unaweza kuwa umechelewa na bado ukasema ukweli hata Kikwete alisema asipochaguliwa kupeperusha bendera ya CCM atahamia CHADEMA mbona watu hawakumsema kuwa analazimisha madaraka? alipohonga kwa rushwa Dodoma akashinda kupeperusha bendera hajaitaja tena CHADEMA mpaka leo
 
ukweli sisi wengine tunataka ukweli tu hata ukiwa wa zamani lakini utatufundisha kitu...
kuhusu kmkaanga Jk hilo liwekwe vizuri na tujue katiba inasemaje maana siku hizi mfumo wa BMW
umeshika hatamu maana ule wa kujilimbikizia vyeo unapitwa na wakati.....
Jingine Sumaye na Lowasa ni wakati wao kuonyesha uzoefu na kutoa busara zao katika mambo lakini si
kutaka uongozi wa juu tena.... maana nyakati zao zimepitwa na wakati.
wabaki kuwa washauri tu wa chama chao na si kuleta malumbano (kumbuka vita vya panzi na faida kwa kunguru)
 
Sumaye anajikaanga mwenyewe, tangu yule mama ambwage kwenye uchaguzi anaropoka hovyo tu na yeye eti anajifanya kuinga kauli za Nyerere.
 
Tooo late

Not too late bana,kwani mtu akigundua kuwa alikuwa anapaswa kufanya kitu fulani tangu jana lakini anakifanya leo na ni baada ya kugundua kosa hiyo ni too late!!?
Kuchelewa kupo kwenye uhai tu kwani ndio ambao hauwezi kurudishwa
 
Unajua mfungwa ujuta aliyoyatenda, na kama system haitoweza kumfanya mfungwa kutoa siri ya ubaya wake kamwe hatutotatua tatizo siku za usoni, Nafikiri tumpe moyo Sumaye aongee ya moyoni "how game played inside" mwisho wake atakuwa outsider
 
:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:Chadema hawana kazi nzito 2015 kwani ccm watajikaanga kwa mafuta yao wenyewe! MAKUNDI
 
Bwana Sumaye, huu sasa ni uvuvuzela.

Ulikuwa na opportunity ya ku-score points majuzi ulivofanya press conference, ukakojolea pembeni!

Keep your freaking bowl shut!!
 


kama anasimamia kile anachokiamini atumie utaratibu mwafaka uliowekwa na na chama chake, aje na hoja za kurestructure chama ikiwa ni pamoja na kubadili katiba ya chama ili kuleta muonekano mpya wa chama ,azunguke nchi nzima aweke mapungufu ya chama chake hadharani ili akusanye sahihi za wanachama za kutosha kufanya mabadiliko vinginevyo huo ni unafiki, wivu, na uoga, la sivyo tutaamini hakustahili kuwa waziri mkuu alikuwa kwa bahati, na uwezo waka kichwani si mkubwa kama alivyokuwa akiitwa zirooo!!
 
sumaye mnafiki leo ndio anatambua CCM wanatumia fomesheni ya BMW=Baba+mama/vimada+watoto
kuna msemo wa waswahili kuwa Nyani haoni kundule!

Amekuwa muhanga wa siasa alizozibuni analalamika. Huyu si ndio alisema ukitaka biashara zako ziende vizuri jiunge na CCM? Au amesahau yeye ndio alikaribisha rasmi biashara huko kwenye chama.
 
Sumaye anajikaanga mwenyewe, tangu yule mama ambwage kwenye uchaguzi anaropoka hovyo tu na yeye eti anajifanya kuinga kauli za Nyerere.

Amesahau yeye ndiye aliyehalalisha wafanya biashara kufanya biashara kwenye chama ili mambo yao yaende. Anywe fanya yake ya baridi roho itulie. Kelele kelele hazitabadili lolote
 
Ni lini aligundua wanafalimia wa viongozi wanawania nafasi za juu kwenye chama chake?
 
Mzee angeanza kuongea kabla ya matokeo ya uchaguzi tungemuelewa labda alizidiwa rushwa ndio analalamika sasa.
Hivi zama hizi kuna uchaguzi gani wa ccm hauna rushwa?
 
Sumaye anasema wakati wa Mwalimu alikuwa anatoa elimu bila kujali watoto wa masikini na matajiri...sasa Sumaye mbona mtoto wake wa kiume alikuwa anasoma Marekani.
 
Huyu baba ni manafiki sana, anamaanisha kwamba angeshinda CCM kusingekuwa na ufisadi siyo? Shame on his face.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…