Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,922
- 33,374
- Thread starter
- #41
Nami nasema vijijini bado kuna changamoto ya usafiri ..barabara mbovu na usimamizi kufikia hadi vijijini inakuwa ngumu ndio price zake haziko listed
Just imagine uko kijiji gari ya kwenda wilayani inatoka moja saa 11 asubuhi unafikiri price itakuwa rafiki kama zingekuwepo mingimingi
Kwa mifano niliyotoa ni njia za lami