hizo sababu ni za kijinga hata mtoto mdogo humdanganyi atagundua, abood imeuwa watu sana mpaka wakaiita chinja chinja, sumri imeuwa watu sana halikadhalika mohamed trans kila siku ajali mbona hayasimamishwi? , pia kuna mabasi kibao yanabeba abiria hata ukiyatazama tu kwa macho bila kuwa mtalamu wa usalama barabarani utagundua ni mabovu na yanaendeshwa kwa mwendo kasi bila tahadhari lakini utashangaa yanapitaje barabarani bila kuzuiliwa
tanzania hii mtu anayefanya biashara kwa mafanikio makubwa bila kuwagawia ela viongozi wa ccm anakuwa adui mkubwa wa serikali, reginald mengi ameligundua hilo akaigiza yupo karibu na ccm ndio maana anaendelea vizuri