SUMATRA yafungia daladala Dar

SUMATRA yafungia daladala Dar

Sasa hii adhabu hawaoni inamuumiza mmiliki wa gari wakati kosa kafanya dereva. Sheria hapa inasemaje? Kwa nini dereva asinyang'anywe leseni yake na mmiliki wa gari akaendelea na biashara yake?
Wewe ni bonge la genius . Ila bongo mambo mengi huendeshwa tofauti na logic
 
Bei ya spare parts sidhani kama unazijui, nunua baikeli magari waachie wengine

Nimeanza kununuwa gari yangu ya kwanza (mbali za urithi) kabla wewe hujazaliwa, mwaka 1977 ulikuwa na miaka mingapi?
 
Tena SUMATRA inabidi waangalie uwezekano wa kushusha nauli zote za mabasi kwani mafuta yameshuka bei.

Kwi kwi kwi na spare nazo zimeshuka bei?na gharama za ufundi nazo zimeshuka bei,oil nayo imeshuka bei?ninyi ccm bwana mnafikiri kwa kutumia nini?hivi ni nani aliyewaloga?
 
.... kwa taarifa tu, kama wewe unatabia ya kupakia abiria kwenye kigari chako wakati wa kwenda na kurudi kazi, summatra wakikushika adhabu yao ni shilingi 1,100,000/= mchanganua kama ifuatavyo

Kubeba abiria bila kibali cha kutoka summatra 3500,000/=
kutoza naluli kubwa kuliko kiwango 250,000/=
kuto kuwa na tiketi 150,000/=
kuto kuwa na sare 250,000/=
kukatisha ruti 100,000/=

Tahadhari kwa wenye HOHA mitaa ya mbagala yasikukute !!!

Siyo NOAH sema kitimoto
 
Kwa sababu umedanganywa kuwa CCM haina mema, wakati hata kuwemo humu mitandaoni wakati tunaotaka ni kwa jitihada za serikali hiyo hiyo inayoongozwa na CCM.

Wewe kwa taarifa yako ccm haipendi utandawazi kwa kuwa umewatoa watu matongotongo na watu sasa wameelimika na hawataki kusikia dudumizi linaloitwa ccm
 
Mkonga wa Taifa umesahau?

Usisahau na ruksa tu.

Acha kupotosha wewe mabadiliko ya technology hayahusiani na it is just the matter of time na hauwezi kubaki na technology ya zamani eti kisa unaitikadi za chama fulani,mbona urusi na marekani wanamitizamo tofauti lakini inapofika kwenye suala la technology kila mmoja anataka amzidi mwezake
 
Back
Top Bottom