FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Nakusoma sana. Hata katika matumizi sahihi ya lugha. Unajitahidi kuweka sawa. Sema thread unazochangia au kuanzisha za CCM. Yan nakuwa nashangaa kabisa..
Kwa sababu umedanganywa kuwa CCM haina mema, wakati hata kuwemo humu mitandaoni wakati tunaotaka ni kwa jitihada za serikali hiyo hiyo inayoongozwa na CCM.