SUMATRA: Muda wowote kuanzia sasa tutaruhusu mabasi ya mikoani kusafiri usiku na mchana ili kuongeza tija

Ile bandari walisema itafanya kazi usiku na mchana,ilifikia wapi?
 
Hiyo initiative ni nzuri mno.Lakini wahakikisheni abiria usalama muda wote WA kusafiri usiku maana usiku hubeba mengi wakiwepo waharifu.Nawapongeza kwa mpango huo mzuri.Kasi hii iendane NA daladala za DSM maana MTU kama anafika DSM usiku anafanyaje tofauti NA kulala jambo linaloweza kumuongezea maumivu abaria.
 
Sound idea. Ila matukio ya utekaji na ajali yaweza kuongezeka sana.Wajipange hata usalama wa abiria.
Better late rather than early to the next world.
 
Solution ya ajali na ujambazi haikuwa kuzuia mabasi kusafiri usiku, bali kuongeza askari barabarani kwa ajili ya ulilinzi na kukamata madereva waenda kasi.
 
Na patrols ziongezeke kulinda usalama wa abiria na Mali zao.
Matamko mengine ni lazima kuangalia faida na hasara zake
Ni vizuri mabasi kufanya shughuli zao usiku na mchana lakini madereva pia wawe waangalifu sana.
 
Wanataka kuongeza idadi ya Watanzania watakaochinjwa barabarani. Uamuzi hovyo kabisa. Tutegemee ongezeko la ajali za kutisha barabarani.

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imepanga kuruhusu mabasi ya mikoani kufanya safari zake muda wote (mchana na usiku), ikiwa ni hatua za kuongeza tija katika sekta ya usafiri.

View attachment 670836
 
Hii ni nzur sana maana nchi kama Uganda ukienda saa nane usiku unapanda basi kwenda mbarara. lakini daslamu ikifika saa tatu hakuna basi linalosafiri nje ya mkoa
 
Sababu zilizosababisha kufutwa safari za usiku hazipo tena? Mabasi Kusafiri usiku ni kuongeza uwezekano wa ajali na vifo vinavyoweza kuzuilika.

Mimi sitasafiri kwa mabasi yatayokuwa yakisafiri usiku labda niwe na dharura.

Vv

We acha ila kuna wengine wanauhitaji sana
 
Hiyo initiative ni nzuri mno.Lakini wahakikisheni abiria usalama muda wote WA kusafiri usiku maana usiku hubeba mengi wakiwepo waharifu.Nawapongeza kwa mpango huo mzuri.Kasi hii iendane NA daladala za DSM maana MTU kama anafika DSM usiku anafanyaje tofauti NA kulala jambo linaloweza kumuongezea maumivu abaria.

Mbona Dar usafiri haujawahi kukatika usiku?
 
Wanataka kuongeza idadi ya Watanzania watakaochinjwa barabarani. Uamuzi hovyo kabisa. Tutegemee ongezeko la ajali za kutisha barabarani.
Hapana Mkuu, suala la ajali ni uzembe wa dereva, mwendokasi na ubovu wa gari. Hivi vitu vikidhibitiwa basi nna hakika hakutakuwa na ajali. Nenda Kampala saa saba usiku stendi iko bize watu wanasafiri kwenda mikoa mbalimbali, yaani 24hrs terminal iko bize. Ni wakati kuafaka nasi kubadilika, ukitaka kwenda Mwanza sio lazima uamke saa 10 alfajiri kuwahi basi Ubungo, ifike wakati unaamua unaondoka saa ngapi sio unapangiwa kuondoka.
 
Back
Top Bottom