SUMATRA mko wapi?

Gari ya masaki inapakia kwenda jeti rumo... Eeeee serekali wapi mnakoenda? Kipi hasa mnachokifanya jamani wahusika mko wapi????
 
Hamna umbea hapo... Nimemsikia Konda anatangaza wakati nilienda kupanda kumbe nikashushwa kusikia jet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…