SUMATRA hiki kinachoendelea kwa wana Dar es salaam mnakiona?

SUMATRA hiki kinachoendelea kwa wana Dar es salaam mnakiona?

Chibati

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
151
Reaction score
212
SUMATRA haya mateso tunayofanyiwa na hawa Udart sijui kama nyie yanawakuta moja kwa moja. Tafadharini mngerejesha tu njia zilizoathiliwa na usafiri huu mpaka hawa Udart watakapojirekebisha. Maana sasa ni mateso na sio usafiri sahihi kwa sasa!
FB_IMG_1552471656009.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hamuwezi kupanga foleni? Basi likijaa hamuwezi kuliacha liende?
 
usafiri wa mwendokazi umkua wa kishenzi sana unakaa kituoni zaidi ya masaa mawili? mnashonana kwenye mabasi utadhani enzi za ujima.
 
kuna sehemu hapo kimara watu wanapanga foleni kama ilivyokuwa enzi za nyerere kununua sukari za nmc kilo moja kila siku ya alhamisi
Wale ndo huwa siwaelewi.. Mbona pale kuna daladala za mbezi, ya nn mtu apange foleni ndefu vile!!?
 
Mwendokasi ni usafiri mzuri japo wa mateso sana maana watumiaji ni wengi sana kuliko magari yanayotoa huduma...!! Udart waongeze magari menginee tutaenda sawa tuuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa kuelewa, hivi mkuu wa mkoa haoni kuwa kuna tatizo, waziri wa uchukuzi haoni kuwa ipo shida, waziri mkuu je, haoni wananchi wanaumia? Mheshimiwa kabisa alienda kufanya ufunguzi wa huu mradi, sababu za kwenda kufungua mradi ambao hauna usimamizi ni nini?

Nchi imejaa wapumbavu hii kupita maelezo.
 
Hebu tuwapigie simu.
Labda Leo watapokea maana mara nyingi hawapokei wako bize sijui na shughuli gani
 

Attachments

  • Screenshot_20190313-150256_Chrome.jpg
    Screenshot_20190313-150256_Chrome.jpg
    91.2 KB · Views: 28
Back
Top Bottom