slave master is a slave
Member
- Dec 11, 2016
- 88
- 124
Sifa za kujiunga na suma jkt au g4s security ni zipi ? Na wapi MTU anaweza kwenda ili kujiunga au aajiriwe ???
Je ?mkuu mimi nimemaliza mjibu wa sheria naweza pata chance suma ? Na utaratibu wa kuapply ukoje ?Suma jkt wanachukua mtu mwenye cheti cha mgambo au cha jkt g4s wanachukua mtu mwenye cheti cha form mwenye afya njema....
Je ? G4s utaratibu wakuapply ukoje ?Suma jkt wanachukua mtu mwenye cheti cha mgambo au cha jkt g4s wanachukua mtu mwenye cheti cha form mwenye afya njema....
Yah huwa wanatangaza ajira upo mkoa ganiJe ?mkuu mimi nimemaliza mjibu wa sheria naweza pata chance suma ? Na utaratibu wa kuapply ukoje ?
Geita mkuu ofisi zao ziko wapi ?Yah huwa wanatangaza ajira upo mkoa gani
Aisee npo Geita piaGeita mkuu ofisi zao ziko wapi ?
Wanaaply wapi ?Aisee npo Geita pia
Nipe mda nafatilieWanaaply wapi ?
watafute g4s schana suma mtonyo mdogo wakat g4s kima cha chini laki tatuJe ?mkuu mimi nimemaliza mjibu wa sheria naweza pata chance suma ? Na utaratibu wa kuapply ukoje ?