maishakujipanga
Senior Member
- Feb 13, 2017
- 115
- 118
Wataalamu wanasema
Ukitaka kupunguza uzito, punguza kula vyakula vyenye wanga badala yake tumia mbogamboga na matunda
Kwanini wanasema hivyo
Thread
Vyakula kama viazi, chipsi, mkate, na ngano za aina zote hukaa tumboni zaidi ya siku tatu.
Vilevile na nyama nyekundu
Kunasababisha kuongezeka uzito na tumbo kuongezeka kwa haraka sana.
Kuna wakati tumbo linakuwa kubwa kupitiliza
Hali inayosababishwa na kula wanga kwa wingi, kutokunywa maji mengi, na kula hovyo hovyo.
Kama mtu unataka kabisa kuondoa kitambi na uzito uliopitiliza,
Kwanza unatakiwa kula milo mitatu kwa siku, na si kujinyima msosi kisa anataka apunguze uzito
Vyakula vya wanga vinasababisha mafuta yanarundikana mwilini na matokeo yake ni kuwa na nyama nyingi, kitambi, tumbo kubwa na uzito uliopitiliza.
Na athari zake ni kubwa sana
Kuna njia za asili, na nyepesi za kuweza kukupa mwili unaoutaka kuwa nao
Itaendelea.........
Ukitaka kupunguza uzito, punguza kula vyakula vyenye wanga badala yake tumia mbogamboga na matunda
Kwanini wanasema hivyo
Thread
Vyakula kama viazi, chipsi, mkate, na ngano za aina zote hukaa tumboni zaidi ya siku tatu.
Vilevile na nyama nyekundu
Kunasababisha kuongezeka uzito na tumbo kuongezeka kwa haraka sana.
Kuna wakati tumbo linakuwa kubwa kupitiliza
Hali inayosababishwa na kula wanga kwa wingi, kutokunywa maji mengi, na kula hovyo hovyo.
Kama mtu unataka kabisa kuondoa kitambi na uzito uliopitiliza,
Kwanza unatakiwa kula milo mitatu kwa siku, na si kujinyima msosi kisa anataka apunguze uzito
Vyakula vya wanga vinasababisha mafuta yanarundikana mwilini na matokeo yake ni kuwa na nyama nyingi, kitambi, tumbo kubwa na uzito uliopitiliza.
Na athari zake ni kubwa sana
Kuna njia za asili, na nyepesi za kuweza kukupa mwili unaoutaka kuwa nao
Itaendelea.........