Suluhisho la nguvu za Kiume

Suluhisho la nguvu za Kiume

Imagine umepiga mdudu wako roast na ugali.
Unakunywa maji unatulia, alaf nusu saa unaanza kupiga kimea.
Baadae upate game! Unaipiga vizur kabisa.
Upate na Mboga ambayo na yenyewe inapiga kimea.😜😜😜😜

Maisha burudan kabisa.

Na Hizi habar za tako 3 utasikia kwenye story za JF tu.
 
Kuna watu hujisifu kuwa wanakung'uta bao tano mpaka saba! Hizo bao zinatoka muda gani tangu bao la kwanza? Bao la kwanza kutoka tu ni shughuli pevu, unaweza kutumia dakika hamsini bao la kwanza halijatoka, umetumia staili zote na umechoka mpaka unataka kuahirisha mechi huku demu nae kachoka kunawaka moto, inabidi tu umalize mechi bila ushindi
 
Muambie ale busta, busta ina karanga, muhogo mbichi, nazi, karoti, mbegu za maboga ongeza na maziwa hasa maziwa ya mgando na anywe maji mengi kabla ya majambozi. Utapigwa shoo dakika arobaini na tano mpaka mbunye iwake moto kwa kukaukiwa ute, mtulinga wa jamaa yako hautalala ndani ya dakika tatu
Aisee
 
Mwanaume yeyote ambaye hajakutana na mwanamke kimwili muda mrefu hizo dakika ni nyingi sana. Na mwanamke ukiwa na mashine tight na yenye joto zuri basi hizo dakika 3 ni nyingi pia kuhimili.

Mwanaume kama ni player ukikutana naye lazima ukutane na shoo ya kibabe. Bao moja anaweza tumia hata saa moja kwa wazungu wanakuwa mbali. Mwanaume yeyote akikutana na uke wenye shombo au mkubwa bao linaweza chelewa.

Baada ya dakika hizo dakika 3 asiporudi hapo ndio tatizo linaanza. Kuna wakati mwanamke round ya pili ya kuifanya itokee otherwise inaweza isitokee. Play your part
Sasa mna blame wamama
Kwan sisi ndio tunasimamisha?
Ebooo
 
Kuna watu hujisifu kuwa wanakung'uta bao tano mpaka saba! Hizo bao zinatoka muda gani tangu bao la kwanza? Bao la kwanza kutoka tu ni shughuli pevu, unaweza kutumia dakika hamsini bao la kwanza halijatoka, umetumia staili zote na umechoka mpaka unataka kuahirisha mechi huku demu nae kachoka kunawaka moto, inabidi tu umalize mechi bila ushindi
Dk 50 bao moja
Du we mzinzi
 
Imagine umepiga mdudu wako roast na ugali.
Unakunywa maji unatulia, alaf nusu saa unaanza kupiga kimea.
Baadae upate game! Unaipiga vizur kabisa.
Upate na Mboga ambayo na yenyewe inapiga kimea.😜😜😜😜

Maisha burudan kabisa.

Na Hizi habar za tako 3 utasikia kwenye story za JF tu.
No reform no election
Yah pombe zinasaidia mana hizo zinakwenda kuathiri mishipa ya fahamu
 
Unampa mtu ushauri kabla hujajua chanzo cha tatizo? Mtu ana shida ya presha, sukari au umri umeenda nguvu za kiume za ujana apeleke wapi? Wanawake umri unapoenda hisia za ngono inapungua lakini nyie wanaume mnataka muda wote uwe na nguvu za kiume na hela hauna. PESA NI JAWABU LA MOYO
 
kwenye ndoa si pa kukamia kupiga mabao mengi, bao moja tu la nusuu saa linatosha. Usiku kucha ni shoo, saa nne, saa nane na saa kumi na moja alfajiri dozi inatosha kwa wanandoa wapya
 
Kuna jimama hapa nimeligusa mkono wake nikaliuliza mbona wa moto hivyo, likanijibu nikukupa kule ukiingiza tu unapiga bao bila kukata kiuno, linasema kule mbunyeni ndio kuna joto zaidi!
 
Kuna jimama hapa nimeligusa mkono wake nikaliuliza mbona wa moto hivyo, likanijibu nikukupa kule ukiingiza tu unapiga bao bila kukata kiuno, linasema kule mbunyeni ndio kuna joto zaidi!
Bro Watu wa vimea tunakuwa na joto sana.

Mm weekend kama hizi ukinigusa unapata shoti kabisa 😂😂😂😂

Money Penny
 
maombi makali kupitia watumishi wakubwa wa Mungu na kutumia vifaa vya kiroho kama maji ya upako
Acha kudanganya watu The Whistleblower
  • Hakuna maombi makali. Maombi ni maombi tu
  • Hakuna watumishi wakubwa na wadogo wa Mungu. Kila aliyeitwa na Mungu amtumikie ni Mtumishi
  • Hakuna maji ya upako. Maji ni maji tu

    Kama unabisha weka hapa Maandiko yanayothibitisha ulichosema
 
Umenena vema sana ila umesahau kitu kimoja pesapesa
Mtu amepigika kisawasawa haelewi hata kesho kuna kucha aje hizo nguvu anatoa wapi
 
Back
Top Bottom