Suluhisho la maradhi ya tumbo

Suluhisho la maradhi ya tumbo

barnabas masoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
1,299
Reaction score
660
Hapa inahisishwa maradhi yote ya tumbo ikiwemo vidonda sugu vya tumbo pamoja na wenye matatizo ya gesi tumboni.

Tafuta majani ya Songwa au (Msongwa) majani kiasi tu loweka kwa muda wa masaa mawili na zaidi maji yawe Lita zisizopungua tatu.uyatumie kwa muda wa Siku tatu hii ndani ya Siku hizo tatu itakuwa umepona au umeona mabadiliko makubwa.cha kuzingatia ni kwamba majani haya yachumwe kwenye uoto wa baridi kanda zenye baridi kama mbeya has a rungwe.ndani ya Siku saba utatoa ushuhuda wako

Kwa maelezo zaidi 0753224347
Barnabas Masoko
 
Hapa inahisishwa maradhi yote ya tumbo ikiwemo vidonda sugu vya tumbo pamoja na wenye matatizo ya gesi tumboni. Tafuta majani ya Songwa au ( Msongwa) majani kiasi tu loweka kwa muda wa masaa mawili na zaidi maji yawe Lita zisizopungua tatu.uyatumie kwa muda wa Siku tatu.hii ndani ya Siku hizo tatu itakuwa umepona au umeona mabadiliko makubwa.cha kuzingatia ni kwamba majani haya yachumwe kwenye uoto wa baridi kanda zenye baridi kama mbeya has a rungwe.ndani ya Siku saba utatoa ushuhuda wako
Kwa maelezo zaidi 0753224347
Barnabas masoko
Umefanya vizuri kutujuza
 
Majani ya songwa ndio yapo vipi mkuu?


Kama vipi weka hata picha tuyaone hayo majani.
 
Mkuu hilo jina mbona kama umeandika la kabila lako!! Hakuna jina lake la kitaalamu au angalau picha!!!
Ni Nina maalufu kwa mbeya yawezekana lakini silijui Nina lingine kwani hata ukienda google kwa Nina hilo inakuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom