Sukari sasa Tsh 6,000/- kwa kilo. Waziri Mkuu, zile tani ulizoagiza ziko wapi?

Jamani ee!! Wananchi tunalojua Rais anajaribu kututetea wanyonge,na tutashirikiana nae hata kama ni uji wa limao tutakunywa,wanaotaka kuuwa jitihada zake wajue raisi wetu yuko na wananchi walio wengi.hata Yesu alifanya mazuri lakini wapo waliomkana.ni sembuse mwanadamu!hii yote ni harakati ya kuikomboa Tanzania yetu.hapa kazi tuu!!
 
Hii wala siiti kuwa ni vita, huu udhaifu wa watu kutaka kuonekana kila waamuacho wao ndio sahihi, hapa ni busara kidogo tu, hata kijiko cha chai hakijai..........dakika mbili ni nyingi hili saga linaisha na maisha yanasonga kama kawaida.
Tatizo yupi wa kutoa hizo busara, kila mtu mbabe.
Busara na hekima ni muhimu sana KATIKA MAISHA YA KAWAIDA
 
Mpaka sasa serikali haijui chanzo cha tatizo na hivyo haiwezi kutatua. Watumishi wa serikali na viongozi hutoa sababu rahisi rahisi za kukaririshwa.
Serikali haijui na siyo rahisi kujua mahitaji halisi ya sukari kwa sasa kwa sababu;

1. Sukari nyingi ilikuwa inaingia sokoni kwa njia za panya au bila kumbukumbu kwa sababu haikulipiwa kodi (sasa hivi njia hizo zimefungwa)
Sukari hii haijafidiwa na ndilo tatizo kuu.

2. Maamuzi mengi ya serikali kuhusu sukari hayaeleweki na hayaingii kwenye akili ya kawaida (matamko ya kamata kamata sukari na bei elekezi). Yawezekana hata kiwango cha upungufu unaotajwa ni hivyo hivyo.
 
Watanzania ni wagumu kubadilika, anzeni kutumia asali, anzeni kunywa uji wa chumvi, mwezi mmoja tu sukari itaanza kuuzwa tshs. 1,000/=
Mimi nimeshaanza kufanya hayo. Sukari ilipoanza kupanda tu kama wiki tatu nyuma milikuwa na akiba ya robo kilo, nikasema inatosha sasa, sukari bye bye. Am stil alive and kicking
 
Poleni watz wenzangu, poleni CC ya CCM iliyomkata Lowassa na kumpandisha Magufuli. Poleni wana usalama na polisi mliokuwa na kazi ya kuhakikisha UKAWA wanakuwa harassed wakati wa kupiga kura, pole sana Nape Nahuye uliyesema lazima chama chako kishinde hata kwa bao la mkono. Mnaona sasa matokeo ya mabao ya mkono.
Sukari na uhaba wake ni laana inayoikumba serikali iliyoingia madarakani bila ridhaa ya wananchi - hata mtumbua majipu anajua yuko pale si kwa kura za wengi ila kwa mizengwe.
Tunasubiri awe mwenye kiti wa chama chake, tuone kama atahimili vishindo....
 
Poleni watz wenzangu, poleni CC ya CCM iliyomkata Lowassa na kumpandisha Magufuli. Poleni wana usalama na polisi mliokuwa na kazi ya kuhakikisha UKAWA wanakuwa harassed wakati wa kupiga kura, pole sana Nape Nahuye uliyesema lazima chama chako kishinde hata kwa bao la mkono. Mnaona sasa matokeo ya mabao ya mkono.
Sukari na uhaba wake ni laana inayoikumba serikali iliyoingia madarakani bila ridhaa ya wananchi - hata mtumbua majipu anajua yuko pale si kwa kura za wengi ila kwa mizengwe.
Tunasubiri awe mwenye kiti wa chama chake, tuone kama atahimili vishindo....
 
Poleni watz wenzangu, poleni CC ya CCM iliyomkata Lowassa na kumpandisha Magufuli. Poleni wana usalama na polisi mliokuwa na kazi ya kuhakikisha UKAWA wanakuwa harassed wakati wa kupiga kura, pole sana Nape Nahuye uliyesema lazima chama chako kishinde hata kwa bao la mkono. Mnaona sasa matokeo ya mabao ya mkono.
Sukari na uhaba wake ni laana inayoikumba serikali iliyoingia madarakani bila ridhaa ya wananchi - hata mtumbua majipu anajua yuko pale si kwa kura za wengi ila kwa mizengwe.
Tunasubiri awe mwenye kiti wa chama chake, tuone kama atahimili vishindo....
 
Du hii sasa ni aibu kwa serikari,na taitizo ni kutotadhimini kbl, na ajabu ilivyo kwa nchi yetu bidhaa yyt ikipanda uwa haishuki kiharaka kama tunavyodhani.
 
Hii ndio hasara ya kuendesha uchumi kisiasa, aache soko huria liendelee la sivyo serikali yake itaangukia pua.
 
Back
Top Bottom