Sukari kilo mbili

Sukari kilo mbili

AlWatan Nyuki

New Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
4
Reaction score
10
Jamaa mmoja mjini Mombasa alifika mkahawani na kumuita mhudumu. Mambo yakawa namna hii:
JAMAA: Chai ipo?
MHUDUMU: Ipo.
JAMAA: Mnauza bei gani kikombe kimoja?
MHUDUMU: Shilingi Ishirini
JAMAA: Na sukari itakuwa bei gani?
MHUDUMU: Sukari bure
JAMAA: Basi achana na hiyo chai, nifungie sukari kilo mbili. DUH!
 
Jamaa mmoja mjini Mombasa alifika mkahawani na kumuita mhudumu. Mambo yakawa namna hii:
JAMAA: Chai ipo?
MHUDUMU: Ipo.
JAMAA: Mnauza bei gani kikombe kimoja?
MHUDUMU: Shilingi Ishirini
JAMAA: Na sukari itakuwa bei gani?
MHUDUMU: Sukari bure
JAMAA: Basi achana na hiyo chai, nifungie sukari kilo mbili. DUH!

Ha ahah ah ah ah aha ha ha ha ahah ha h a:lol::lol::lol:
 
Haha!hehe!hihi!hoho!huhuuuuuuu! Nimechyeka ile mbaiyaa!
 
Back
Top Bottom