malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,717
- 4,295
Habar wakuu nikipima sukari asubuh ya saa mbili Iko 6 na hapo nakua nimekula chakula saa mbili usiku,je kiwango Hiki nisawa? Kwa mwezi huu wa ramadhani nikija pima saa kumi na moja jioni nakuta Iko 4.7 hapo nitangu Nile Jana jioni yake ktk futar