HABARI,
endapo Bunge litakataa CAG asifanye ukaguzi kwenye mradi huu, wabunge wa upinzani inabidi wawe proactive.....Tumepigwa tena, Mungu yupo
Huyu wa kwetu ni mwongo hasa. Mambo mengi anayoongea ni ya uwongo. Uwongo na ulaghai ni tabia kuu ya shetani.Haipendezi rais kuwa na katabia ka uwongo
Duh,54B????? kumbe sio 10B..daaah hawa watu wamezidi kupika hizi data ..wataendelea kuumbuka hv hv..nasikitika kuwa ndugu zangu walioko vijijini bado wana imani na mtu huyu kwakuwa hawana uwezo wa kupata hz taarifa...ila kwakuwa kijana wao nipo hapa nitawafikishia ujumbe maana wao walimshangilia kwa vigelegele wakati akifuta sherehe za uhuru kwa kubana bajeti na sasa bajeti iliyobanwa ndio yatumika vibaya hv
huwa nawashangaa sana hawa wanaojigamba mbele ya umati kuwa ufisadi umezuiwa kwa asilimia kubwa...lakini ukweli ni kuwa ufisadi upo tena ni mkubwa sana...kikubwa ufisadi wa sasa umeongezeka kiteknolojia..hivi sasa keki ya taifa wanoyo ifisadi ni kikundi kidogo ndani ya chama ambacho kimejipa mamlaka makubwa sana..
tutegemee mpasuko mkubwa ndani ya chama kwakuwa keki ni ya wachache msimu huu na hao wachache wanaila kweli kweli
Kazi ipo unapaswa kujua Sugu amelalamikia uongo wa malaika wako alipaswa kuwa mkweli ,alikuwa anamdaganya nani na kwa faida ganiHABARI,
"Return Of Undertaker,
Mimi binafsi kwenye hili la hostel bado nabaki kumpongeza MH.RAIS hebu tukae na kujifikiria kama watu walitaka kupiga bilioni 100 na kujegwa kwa bilioni 54-60 huoni kama zimeokolewa zaidi ya billioni 40 sasa hivi nashuhudia zahanati zikijegwa kwa kasi sehemu nyingi nchini zaidi ya miaka yote kinamama na watoto walikuwa wanakufa kama serikali inaokoa maisha ya mama zetu na watoto tunataka nini mbona hatulisifii hilo mnyonge mnyongoni ila haki yake mpeni.Mimi sitetei ila msifie hata moja moja tuu zuri linalofanywa na MH.RAIS sio mabaya tu hapa mabaya ttu kila kukicha mabaya tuuuuuu wakati mwingine unaudhi sana ninaamini nyie mnalenu si bure hata kidogo kama kunabaya semeni kama ni la kweli tutalitetea ila mimi kwa hili la hostel hapana acheni dhambi kwahiyo angetoa hizo billioni 100 ndo mngempongeza au?
LUMUMBA
Issue sio kaokoa, angalia swali, serikali inamdanganya nani na kwa faida ya nani?? Halafu majengo ni below standards. Kwanini tusiseme pia pesa zimeibiwa??Hata hivyo hapo awali si ilikuwa iwe zaidi ya 90B na zijengwe kwa takribani miaka sita.
Kama haitoshi kawaokoa wanafunzi asilimia kadhaa kuishi maisha hatarishi huko mtaani. Wanywa gongo/mataputapu waliwadhalilisha vijana wetu Huyu Sugu anamtoto binti wa miaka mingapi labda? Ili tuone kama anajua hatari ya kusoma ukiwa umepanga nyumba moja na wala mihadarati na gongo.
Sasa kama umeokoa gharama kutoka sh. 90B hadi 54B, kuna tatizo gani kusema ukweli na watu wakusifie kwa kuokoa bilioni 36? Kulikuwa na haja gani ya kusema zimejengwa kwa 10B?Hata hivyo hapo awali si ilikuwa iwe zaidi ya 90B na zijengwe kwa takribani miaka sita. Kama haitoshi kawaokoa wanafunzi asilimia kadhaa kuishi maisha hatarishi huko mtaani. Wanywa gongo/mataputapu waliwadhalilisha vijana wetu Huyu Sugu anamtoto binti wa miaka mingapi labda? Ili tuone kama anajua hatari ya kusoma ukiwa umepanga nyumba moja na wala mihadarati na gongo.
Kwani jela ilijengwa kwa ajili ya kuku?hata wewe unaweza jikuta uko huko bila kuwa na hamuana hamu ya kurudi jela tena huyu
Swali " sasa kwanini wanadanganya zimejengwa kwa billioni.10 wakati uhalisia ni billion 54?HABARI,
"Return Of Undertaker,
Mimi binafsi kwenye hili la hostel bado nabaki kumpongeza MH.RAIS hebu tukae na kujifikiria kama watu walitaka kupiga bilioni 100 na kujegwa kwa bilioni 54-60 huoni kama zimeokolewa zaidi ya billioni 40 sasa hivi nashuhudia zahanati zikijegwa kwa kasi sehemu nyingi nchini zaidi ya miaka yote kinamama na watoto walikuwa wanakufa kama serikali inaokoa maisha ya mama zetu na watoto tunataka nini mbona hatulisifii hilo mnyonge mnyongoni ila haki yake mpeni.Mimi sitetei ila msifie hata moja moja tuu zuri linalofanywa na MH.RAIS sio mabaya tu hapa mabaya ttu kila kukicha mabaya tuuuuuu wakati mwingine unaudhi sana ninaamini nyie mnalenu si bure hata kidogo kama kunabaya semeni kama ni la kweli tutalitetea ila mimi kwa hili la hostel hapana acheni dhambi kwahiyo angetoa hizo billioni 100 ndo mngempongeza au?
LUMUMBA
Wabongo tufunzeni kuelewa hoja na kuijibu hoja. Hoja hapa sio hela zilizotumika kujengea. Ujenzi wa majengo ya wanafuzi ni jombo jema saana. Serekali inatakiwa ipewe pongezi zote. Hoja ya Sugu ni kwa nini walisema uwongo?Hata hivyo hapo awali si ilikuwa iwe zaidi ya 90B na zijengwe kwa takribani miaka sita.
Kama haitoshi kawaokoa wanafunzi asilimia kadhaa kuishi maisha hatarishi huko mtaani. Wanywa gongo/mataputapu waliwadhalilisha vijana wetu Huyu Sugu anamtoto binti wa miaka mingapi labda? Ili tuone kama anajua hatari ya kusoma ukiwa umepanga nyumba moja na wala mihadarati na gongo.
Ingekuwa nchi za maana Magufuli angeshafukuzwa siku nyingi Ikulu,aulize South Africa,Brazil na sasa spain
Hizi ngonjela zimekuwepo tangu enzi za JK na bado ccm wanashinda kama kawa...tatizo ni kwamba hata hao wakosoaji nao ni wachafu sana so ni bora shetani unayemjua kuliko malaika usiyemfahamu!54B????? kumbe sio 10B..daaah hawa watu wamezidi kupika hizi data ..wataendelea kuumbuka hv hv..nasikitika kuwa ndugu zangu walioko vijijini bado wana imani na mtu huyu kwakuwa hawana uwezo wa kupata hz taarifa...ila kwakuwa kijana wao nipo hapa nitawafikishia ujumbe maana wao walimshangilia kwa vigelegele wakati akifuta sherehe za uhuru kwa kubana bajeti na sasa bajeti iliyobanwa ndio yatumika vibaya hv
huwa nawashangaa sana hawa wanaojigamba mbele ya umati kuwa ufisadi umezuiwa kwa asilimia kubwa...lakini ukweli ni kuwa ufisadi upo tena ni mkubwa sana...kikubwa ufisadi wa sasa umeongezeka kiteknolojia..hivi sasa keki ya taifa wanoyo ifisadi ni kikundi kidogo ndani ya chama ambacho kimejipa mamlaka makubwa sana..
tutegemee mpasuko mkubwa ndani ya chama kwakuwa keki ni ya wachache msimu huu na hao wachache wanaila kweli kweli
Issue sio kaokoa, angalia swali, serikali inamdanganya nani na kwa faida ya nani?? Halafu majengo ni below standards. Kwanini tusiseme pia pesa zimeibiwa??
Sasa kama umeokoa gharama kutoka sh. 90B hadi 54B, kuna tatizo gani kusema ukweli na watu wakusifie kwa kuokoa bilioni 46? Kulikuwa na haja gani ya kusema zimejengwa kwa 10B?
Akili kama hizi ndo zinaonyesha kuwa ni bora tungeendelea kutawaliwa na mzungu. Umeandika mavi. Ni wapi Sugu kasema hostel hazina tija?alichosema ni uongo wa bei
Unbelievable! Can the head of state stoop so low to the extent of cheating?
Kasome ule ukurasa wa 1.5 trilion.Hivi taarifa juu gharama za matumizi ya ujenzi wa hosteli zile yapo katika ukurasa wa ngapi wa ripoti ya CAG?