Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Tunachohoji ni kudanganyana, wananchi tunajua serikali inabana matumizi kumbe ndio inatumia zaidi.Hata hivyo hapo awali si ilikuwa iwe zaidi ya 90B na zijengwe kwa takribani miaka sita.
Tunachohoji ni kudanganyana, wananchi tunajua serikali inabana matumizi kumbe ndio inatumia zaidi.
Haya hiyo bilioni 40 imetumika bila nyaraka zozote zile na watu mnashangilia..
mkuu usiwe pimbi wa kiasi hicho, kwanza majibu yako hapa yanaonesha hujasoma chuo chochote wewe. aliyekwambia kuna mahusiano kati ya kunywa mataputapu na kusoma ni nani? hivi pale zile hostel zilipo hayo mataputapu hayapatikani? pale na ubungo msewe au ubungo kuna umbali gani?Hata hivyo hapo awali si ilikuwa iwe zaidi ya 90B na zijengwe kwa takribani miaka sita.
Kama haitoshi kawaokoa wanafunzi asilimia kadhaa kuishi maisha hatarishi huko mtaani. Wanywa gongo/mataputapu waliwadhalilisha vijana wetu Huyu Sugu anamtoto binti wa miaka mingapi labda? Ili tuone kama anajua hatari ya kusoma ukiwa umepanga nyumba moja na wala mihadarati na gongo.
ukisema kitu chochote ukiwa bungeni hakuna sheria inayochukuliwa nje ya bungeana hamu ya kurudi jela tena huyu
jela ni kitu gani?????? atafungwa ataachiwaana hamu ya kurudi jela tena huyu