Sugu kufanya mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wake tarehe 28/06/2020

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
1592855716893.png
 
Tusubiri kusikia mkutano huo umezuiwa kutokana na taarifa za "kiintelijensia"
 
Ni bora anayetea serkali kuliko Chadema inayotetea mafisadi, wauza madawa ya kulevya na Mabeberu kupora raslimali zetu
Msomi asitetea wananchi bali anatetea serikali Bungeni hatufai.Bora hata alieishia darasa la nne mradi tu anaweza kutetea wananchi kuliko msomi asiejua wajibu wa Mbunge ni nini awapo Bungeni.
 
Back
Top Bottom