Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Msomi asitetea wananchi bali anatetea serikali Bungeni hatufai.Bora hata alieishia darasa la nne mradi tu anaweza kutetea wananchi kuliko msomi asiejua wajibu wa Mbunge ni nini awapo Bungeni.Aage Wananchi, ampishe dada msomi
I will be there
Kwanini asifanyie viwanja vya CCM???
Hongera sana!mkuu nipo kwenye kamati ya maandalizi
Msomi asitetea wananchi bali anatetea serikali Bungeni hatufai.Bora hata alieishia darasa la nne mradi tu anaweza kutetea wananchi kuliko msomi asiejua wajibu wa Mbunge ni nini awapo Bungeni.
Tuna watakia mkutano mwema makamanda...mnafanyia mama John aumkuu nipo kwenye kamati ya maandalizi
tumejipanga kuliko unavyodhani .Hongera sana!
Atetee serikali ya mafisi??Ni bora anayetea serkali kuliko Chadema inayotetea mafisadi, wauza madawa ya kulevya na Mabeberu kupora raslimali zetu
Taarifa zaidi utapewaTuna watakia mkutano mwema makamanda...mnafanyia mama John au
Atetee serikali ya mafisi??
we ni kiazi sana hujitambuiAage Wananchi, ampishe dada msomi
Angebaki tuu aendelee kuwa mteule huko atatia aibu tuuAage Wananchi, ampishe dada msomi
we ni kiazi sana hujitambui
Hakika heshima imelindwa
Angebaki tuu aendelee kuwa mteule huko atatia aibu tuu
Ajira yako ya mtandaoni inategemea Magu kaamkaje!!!Ni bora anayetea serkali kuliko Chadema inayotetea mafisadi, wauza madawa ya kulevya na Mabeberu kupora raslimali zetu