Sugu Awaka, Amwaga Cheche Bungeni!

Sugu Awaka, Amwaga Cheche Bungeni!

Itabidi kwanza uache kazi ya serikali.BTW nilidhani wewe mchungaji!lol

Hii status ya Rev nakumbuka ulipoanza kuitumia, i remember you was once upon a time just "Masanilo".
Huyu anadhalilisha wachungaji/mapadre na wakristo wote kwa ujumla!!
nawashangaa sana wanaompa support!!
 
Jamaa linasoma linatazama chini, hana art ya kutoa hotuba, hajui kama anachukuliwa live na TV, jamani wakachukuwe mafunzo ya "public speaking" na mass communications, hotuba imeja u "mimi", nimemsikiliza tena sasa hivi, ndio kanikirihisha kabisa.
Sasa ulielewa au hukuelewa acha kumchukia mtu bila sababu mbona pinda wakati anatoa tamko la kuwatishia kuwafukuza madaktari waliogoma alikuwa anasoma lakini hatujakuona unapopoma humu mpaka povu likutoke mdomoni kama ulivyofanya sasa kwa Sugu.
 
mkuu kama unakumbuka kuwa kuna kipindi madiwani wa chadema walitoka kweye ukumbi wa mikutono yao kikao kilipo kuwa kinaendelea issue ilikuwa ni hii hii

N sasa hivi nasikia kuna bifu kubwa sana la chini chini kati ya madiwani wote (CCM & CHADEMA) dhidi ya meyor hapakaliki
Sasa bunge linaingiaje hapo?
 
Sasa bunge linaingiaje hapo?
sijakuelewa swali lako vema , Labda anawasilisha bungeni kwa wahusika wote wajue ukubwa/ugumu wa tatizo kama nilivyosema hapa Mbeya hawa jamaa hawaendeni kabisa source ni pamoja na mambo mengine ila Meya hataki machinga wafanyie biashara zao ktkt ya mji
 
Huyu waziri kwanza ni mlevi, yaani siku moja nimekutana naye airport pale hoi, kachoka sijui kama nini. kwa namna alivyokua hata wewe lazima uwe na mashaka na utendaji wake wa kazi
 
mradi awe vizuri habari ya huyo jamaa yake anaijua mzee malecela....
 
Kwahiyo Sugu siku hiz anaimba taarab? Dume zima, linamgwaya mwenzake na kumtaja taja kila saa! Au anataka mambo flan kutoka kwa Kusaga na Ruge?
acha matusi kwa mbunge wetu! ww na sugu nani mwimba taarabu? ww unashinda huku kumponda sugu mtu ambaye hata hakujui na hauna ugomvi nae! Jiheshimu ushapevuka sasa!
 
Jamaa bonge la mshamba anavisasi vya kizamani sana. Anmchukia ruge kama alikuwa muumbaji wake. ataacha lini kuwaiga wamerekani kuongea? Utanzania kauwacha mbali sana Je kama angezaliwa marekani si angetembelea kichwa huyo? SUGU UNAKERA BADILIKA visasi si hulka njema.
Ina maana watu wa mbeya hawakujua kama jamaa ni mshamba? ww sio mshamba? aua kwa ajili hatukujui ndio maana unajishaua?
jiheshimu ww! kumbuka una rasta mpaka kule chini kwa nyuma.
 
pasco... Kumwaga cheche ndio nini?
Mkuu MTM, kumwaga cheche ni kutema moto bungeni. Kutoa maneno makali ya moto ambayo yanachoma kama cheche za moto ambazo zikisaambaa nyikani zaweza kulipua moto.

Kwenye hoja ya msingi ni kuhusu suala la vurugu za wamachinga soko la Mwajwelwa Mbeya ambapo Sugu amezungumza kwa ukali, uchungu na hasira huku aki shaut serikali kukana kifo na najeruhi!.
 
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.

Nyambafu wewe,hivi huoni jitihada anazofanya mwenzako,bora yeye anapiga kelele kutetea haki za wanyonge kulikowewe punguwani unayepiga makelele ukinanihiwa usiku,lipi linamashiko kati ya hayo mawili?funga bakuli lako nyambafu wewe
 
Mode naomba usaidizi wako kwenye heding liondoe neno "Amwaga" na kulireplace na neno "Atema"
Hivyo heading sasa isomeke "Sugu Awaka, Atema Cheche Bungeni"!.
 
nchimbi hatakaa atawale nchi hii kamwe hatuwezi kurudia kosa kama 2005
 
Nchimbi anautaka urais! je akiupata huo urais Sugu atakimbilia wapi?

Huyu jamaa kwanza anaonekana ana visasi sana kuliko alivyomwelezea mwenzie "sugu" maana alitumia nafasi ya u ccm na uwaziri kumshutumu sana eti mbunge gani hajieshimu na mwenye kuvunja utamaduni wa taifa kwa kumzunguka akitolea wazi mwaliko wa sugu katika tamasha alilolifanya kwa facebook eti aliwambia watu waje!, waje tena kwa wingi na vimini, jamaa ilikuwa vijembe vijembe kwa kwenda mbele huku wabunge wa ccm wakimsindikiza kwa kugonga meza! Sasa akiwa rais naona baada ya kuapishwa tu sugu ni segerea au kumkolimba kabisa!
 
@ JF MEMBERS


Kumekuwa Taarifa nyingi,zinanazoelezea juu ya unyonyaji unaofanywa na clouds media group juu ya wasanii na kuwa vibaraka wa magamba Mh sugu,tunaomba waraka juu ya hili,ili tuweze kuelewa zaidi hapa JF Kwani waraka wako utasaidia kuamsha hamasa juu ya makundi mbali !!!!!!!!!!!!


Na vp KUHUSU PALE THT(TANZANIA HOUSE OF TALENT)

Tunasikia nayo ni NGO ya mtu Je ! nini ukweli wa haya !!!!!!!
 
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.

Yaani wewe ni wakusamehewa bure! hivi kwako hakuna jambo zuri hata moja sijui na nyumbani kwako uko hivihivi ama ni hapa jamvini tu! kha!
 
Tatizo hii inchi yetu inadhani tuko kwenye zama za ujima wananchi hawana tena mwamko wala hawana uwelewa, sijajua nani ni mshauri wa hii serikali japo awafinye maskio kuwataarifu kuwa tuko kwenye karne ya 21 watu wanauelewa kuliko wafikiravyo, wananci wamepevuka kifikra sasa wanajua mbivu na mbichi.

Kuhusu vurugu kweli serikali inatakiwa itambie nn chanzo ama kiini cha vurugu na wajiulize kwanini kila pahala wanapo mwamishia Kandoro lazima kuwe na vurugu huwa anafanyanini Dar,Mwanza na Mbeya kote vurugu na wamachinga kunani kati ya Kandoro na wamachinga???

Suala ya Vazi la Taifa sjaelewa mantiki ya kuwa na vazi la Taifa lenye rangi ya bendera ya taifa, hilo halitakuwa tena vazi lataifa bali tuvae bendera ya Taifa, nijaribu kuangalia mataifa yenye mavazi yao ya Taifa sijaona wanaovaa bendera ya nchi yao kwanini sisi tuambiwe tubuni vazi lenye rangi ya taifa, Inamaana wanashindwa kubuni aina ya mshono ambao ndio utatambulisha nchi kama wanavyo fanya wenzetu wa Uganda, Rwanda hata Nigeria, Ghana wao wana vitambaa ambavyo ni vyao vyenye rangi tofauti tofuti ila mshono ndio unatambulisha nchi hii nayo nchimbi na kamati yake wameshindwa kuliona kama sio kuzidi kutonyonya kwa kutafuna pesa yetu bure hakuna wanachokifanya, kwani nikweli wamepeena kiushakaji hiyo tenda.
 
Back
Top Bottom