MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,388
- 11,332
Kwani SUGU mbunge wa chama gani?
Huyu Naye kaamia CHADEMA lini?
Kauli ya Sugu iliungwa mkono na wabunge wengine wa Mkoa wa Mbeya, ambapo Mchungaji Lukson Mwanjale wa Mbeya Vijijini (CCM) alisema anasikitishwa na hatua hiyo ya kuliwasilisha wazo hilo bila ya kuwashirikisha wabunge.