sugar mammy

sugar mammy

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
wadau samahanini.hivi yule sugar mammy aliyekatalia vyeti vya bwan'mdogo keshavirudisha?
 
tupo busy tunashugulika na huyu bazaz aliyebaka watoto na kuambukiza mawaya,aende panapostahl ,kwan huyudogo aliyeolewa na yule mama hawez kustaki maza akarudisha vyeti,na alizuia vya nini bdo anataka dogo amgegede?
 
XYZQYUUKWTIXYXYXYX!:A S tongue: Unataka ukampe na vya kwako?

ohoooooo hali ya hewa ishaanza kuchafuka hapa,wenye chama wameshafika......kwenye hii ambushi sidhani kama atakoka mtu,juu meno ya tembo chini sembe,kulia mbakaji wa kike kushoto mbakaji wa kiume na msambazaji wa ngoma
 
Wewe umeambiwa yule mama alikuwa anataka mauroda?

We unafikiri kuacha Wazee wenzake na kukimbilia damu changa ilikua ni nini kama si kukimbilia mauroda??

Anyway, wacha kwanza hii issue ya Kapuya ipite!!
 
Back
Top Bottom