Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,131
Ni hivii ndugu kila simu ina root method yake ambayk rooting app inatumia.. Possibly hiyo simu yako bado haijaingizwa kwenye system/root method yake bado haijapatikana, so kuwa mvumilivu mpaka pale itakapoingizwa na yenyewe..
Kwa mfano mimi natumia miracle box ila kila muda waantoa update na kuadd cpu/simu mpya ambazo zaman nilikua siwez kuzirepair.. Kuwa mpole kwa sasa mpaka simu yako itakapoingizwa nayo
Kwa mfano mimi natumia miracle box ila kila muda waantoa update na kuadd cpu/simu mpya ambazo zaman nilikua siwez kuzirepair.. Kuwa mpole kwa sasa mpaka simu yako itakapoingizwa nayo