Submissions zimekidhi haja, tusali na tuombe

Submissions zimekidhi haja, tusali na tuombe

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,296
Reaction score
96,557
Submissions za Dr. Rugemeleza Nshala et al, kule Dodoma Court of Appeal zimekuwa nzuri. Zimekidhi haja!
Kila mmoja kwa imani yake tusali na kuomba Watukufu majaji wasipigiwe simu, na wakipigiwa wakatae watende haki.

Semeni AMEN.

By the way Majaji walikuwa akina nani?
 
Submissions za Dr. Rugemeleza Nshala et al, kuoe Dodoma Court of Appeal zimekuwa nzuri. Zimekidhi haja!
Kila mmoja kwa imani yake tusali na kuomba Watukufu majaji wasipigiwe simu, na wakipigiwa wakatae watende haki.

Semeni AMEN.

By the way Majaji walikuwa akina nani?
chadema masalia wanamuonea tu mbaba wa watu anatia huruma kweli dah!
huenda viongozi hawamuelewi ndio maana wanaeleza mambo yaleyale upya ili sijui wapate kiki ama ni dharau tu kwa huyo mbaba wa watu,
 
Jambo la muhimu zaidi na la maana kubwa linalotokana na hatua hii ni kuwa 'process' (mchakato) unachukuwa mkondo wake katika taratibu za kimahakama.

Bila kujali matokeo yake; hii ni hatua moja kwenda mbele, kuliko kuendelea kuzungushwa tuu huko na matakwa ya akina Mwanga.

Hawa nao wakifanya maigizo, waTanzania watayaona kuwa ni maigizo yasiyolingana na hitaji lililopo.

Hiyo Korti ya waTanzania itachukuwa mkondo wake itakapofikia ngazi hiyo ya mahakama.

Hapatakuwa na mwenye uwezo wa kuzuia maamuzi ya hiyo mahakama ya juu zaidi kuliko zote.
 
chadema masalia wanamuonea tu mbaba wa watu anatia huruma kweli dah!
huenda viongozi hawamuelewi ndio maana wanaeleza mambo yaleyale upya ili sijui wapate kiki ama ni dharau tu kwa huyo mbaba wa watu,
Mabwabwa ya Abdul nenden mkawasaidie mabwabwa wenzenu mliyoyatangulizq kijinga kufungua kesi uchwara nguruwe nyinyi
 
Ivi mwanasheria wa CCM nani apa TZ naona wanakula pesa nyepesi sana na sijui kama kuna siku yoyote aliwai kwenda mahakaman kupambania haki fulan kuhusu ccm ila uko chadema asee wanasheria nadhan kila wiki wapo mahakaman kiufupi wanakula kwajasho
 
Back
Top Bottom