Subaru impreza (mbichii for sale)

Subaru impreza (mbichii for sale)

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,387
CAR;Subaru Impreza
BODY;Hatchback
YOM;2011
ENGINE;Cc 1500
Millage;Km 86000
No Accident,No scratches
Asking Price mill.11
Njoo na fundi ukague na kulipa.
Location Tabata BIMA.
Hit 0768540772....
 
See
IMG-20210129-WA0017.jpg
IMG-20210129-WA0016.jpg
 
Naombeni kujua Impleza kama iyo na Toyota IST ipi ipo safi kwa safari ndefu na barabarani ya vumbi???
 
Unasema kweli mkuu, maana nataka ninunue moja wapo ila safari zangu zitakuwa za ifakara, na maenge uko barabara mbovu sana uko
Boss gari ngumu Sana hii kuanzia body, na inatulia sana barabarani.
Sisifii kwasababu nauza.. ila kwa mengineyo watayajibia wataalamu wa magari.
 
Unasema kweli mkuu, maana nataka ninunue moja wapo ila safari zangu zitakuwa za ifakara, na maenge uko barabara mbovu sana uko
Kweli mkuu,uzuri hizi pia ni AWD so hata barabara za tope unachomoka vzr kabisa mkuu.
 
Umeitumia kwa muda gani?
Ok ipo hivi boss
Gari ina mwaka na nusu
Imetumika miezi miwili, then tukaifunika kwasababu ya safari hivyo hakukuwa na mtu wa kuitumia.
Sasa toka tumerudi, rasmi inawiki mbili tena katika Matumizi.. karibu ukague bado mbichi kabisa
 
Unasema kweli mkuu, maana nataka ninunue moja wapo ila safari zangu zitakuwa za ifakara, na maenge uko barabara mbovu sana uko
Siku ukija Ifakara, unijulishe ili nikuletee samaki mkuu! Mimi niko huku Mofu. Nakula tu wali kwa samaki wa Mto Kilombero kama sina akili nzuri vile.
 
Back
Top Bottom