Wana JF nimekuwa nikiona wakandarasi wazalendo tena Wadogo wakipata Sub-contract kwa wachina na wakandarasi wengine hapa Dar na mikoani. Kwa wale Walio ndani wakifanya sasa au wanajua namna ya kupata kandarasi hizo naomba muongozo wa kupata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
