pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 381
- 642
Hali ya Umeme, hapa Kisewe, Mbande ni Kesi maalumu. Wananchi wamekata tamaa kabisa kila mwananchi amenunua Taa ya kuchaji maana umeme kukatika siku mbili tatu, au zaidi ni jambo la kawaida kabisa! Tangu nizaliwe sijawahi kuona Adha ya aina hii ya umeme. Hatuwezi kufanya Kazi kabisa. Tanesco fanyeni jambo.